18 episodes

Sheria Poa, ni kipindi ambacho tunaongelea maswala mbalimbali ya jamii kwa mtazamo wa sheria na kwa lugha nyepesi kabisa na ya kiurafiki, ni kipindi cha kufundisha na kusaidia kwa watu wa aina zote.

Sheria Poa Podcast Privaty Rugambwa

    • Education
    • 5.0 • 2 Ratings

Sheria Poa, ni kipindi ambacho tunaongelea maswala mbalimbali ya jamii kwa mtazamo wa sheria na kwa lugha nyepesi kabisa na ya kiurafiki, ni kipindi cha kufundisha na kusaidia kwa watu wa aina zote.

    Sura ya Kwanza - Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977

    Sura ya Kwanza - Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977

    Katika kipindi cha leo, Mwenyekiti wa jukwaa la katiba Tanzania, Mwalimu Deus Kibamba Pamoja na Wakili Msomi Paul Kisabo wanaendelea kutuelimisha juu ya ibara mbalimbali za katiba hii, katika sura ya kwanza, na mpangilio mzima wa sura hii.

    Wazungumzaji wetu wanatuelezea juu ya umuhimu wa sura hii na changamoto zilizopo, kwenye sura hii ya kwanza na mapungufu yaliyopo kwenye sura hii na mapendekezo yao juu ya sura hii.
    Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862

    Subscribe kwenye chaneli yetu: https://www.youtube.com/@UCtr2I2XphLapB71XkxxrU4A


    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

    • 22 min
    Muundo wa Serikali na Madaraka ya Rais Kwenye Katiba Ya Tanzania ya Mwaka 1977 | SheriaPoa

    Muundo wa Serikali na Madaraka ya Rais Kwenye Katiba Ya Tanzania ya Mwaka 1977 | SheriaPoa

    Kwenye Kipindi cha leo tupo na Mawakili Wasomi, Deogratius Bwire pamoja na Nuru Maro wakitupitisha katika Sura ya Pili ya Katikba ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, hususani kwenye Muundo wa Serikali ya kwa mujibu wa katiba hii na madaraka ya Rais.

    Mawakili wasomi wanatuelezea kwa kina, muundo wa serikali hii na changamoto zilizopo kwenye muundo huu wa serikali na mapendekezo yao ya nini kifanyike kwenye mchakato wa katiba mpya ili kuboresha muundo huu na madaraka ya Rais kwa ujumla.

    Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862

    Subscribe kwenye chaneli yetu:    / @uctr2i2xphlapb71...  

    Sikiliza Podcast yetu kupitia:
    Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA
    Spotify: http://bit.ly/40v0UYd
    Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ
    Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa
    Youtube Link:    / @sheriapoa  #SheriaPoa #SheriaPoaPodcast #katiba #katibampya #sheria


    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

    • 22 min
    Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 (Sura ya Kwanza) - Mwendelezo

    Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 (Sura ya Kwanza) - Mwendelezo

    Katika kipindi cha leo, Mwenyekiti wa jukwaa la katiba Tanzania, Mwalimu Deus Kibamba Pamoja na Wakili Msomi Paul Kisabo wanaendelea kutuelimisha juu ya ibara mbalimbali za katiba hii, katika sura ya kwanza, na mpangilio mzima wa sura hii.

    Wazungumzaji wetu wanatuelezea juu ya umuhimu wa sura hii na changamoto zilizopo, kwenye sura hii ya kwanza na mapungufu yaliyopo kwenye sura hii na mapendekezo yao juu ya sura hii.

    Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862

    Subscribe kwenye chaneli yetu: https://www.youtube.com/@UCtr2I2XphLapB71XkxxrU4A

    Sikiliza Podcast yetu kupitia:
    Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA
    Spotify: http://bit.ly/40v0UYd
    Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ
    Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa
    Youtube Link: https://www.youtube.com/@sheriapoa#SheriaPoa #SheriaPoaPodcast #katiba #katibampya #sheria #sheriazaTanzania #tanzania #podcast #podcasts #podcastshow #podcasttanzania


    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

    • 40 min
    Sura ya Kwanza - Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977

    Sura ya Kwanza - Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977

    Katika kipindi cha leo, Mwenyekiti wa jukwaa la katiba Tanzania, Mwalimu Deus Kibamba Pamoja na Wakili Msomi Paul Kisabo wanaendelea kutuelimisha juu ya ibara mbalimbali za katiba hii, katika sura ya kwanza, na mpangilio mzima wa sura hii.

    Wazungumzaji wetu wanatuelezea juu ya umuhimu wa sura hii na changamoto zilizopo, kwenye sura hii ya kwanza na mapungufu yaliyopo kwenye sura hii na mapendekezo yao juu ya sura hii.
    Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862

    Subscribe kwenye chaneli yetu:    / @uctr2i2xphlapb71...  

    Sikiliza Podcast yetu kupitia:
    Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA
    Spotify: http://bit.ly/40v0UYd
    Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ
    Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa
    Youtube Link:    / @sheriapoa  #SheriaPoa #SheriaPoaPodcast #katiba #katibampya


    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

    • 22 min
    Historia ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977

    Historia ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977

    Katika kipindi cha leo, tupo na Mwenyekiti na Muanzilishi wa Jukwaa la Katiba Tanzania Mwl. Deus Kibamba akitupitisha katika historia ya Katiba Ya Mwaka 1977, kutoka kupata uhuru wa Tanganyika mpaka leo.



    Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862



    Subscribe kwenye chaneli yetu: ⁠https://www.youtube.com/@sheriapoa⁠



    Sikiliza Podcast yetu kupitia:

    Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA

    Spotify: http://bit.ly/40v0UYd

    Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ

    Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa

    Youtube Link: https://www.youtube.com/@sheriapoa


    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

    • 22 min
    Historia ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977

    Historia ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977

    Katika kipindi cha leo, tupo na Mwenyekiti na Muanzilishi wa Jukwaa la Katiba Tanzania Mwl. Deus Kibamba akitupitisha katika historia ya Katiba Ya Mwaka 1977, kutoka kupata uhuru wa Tanganyika mpaka leo.

    Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862

    Subscribe kwenye chaneli yetu: ⁠https://www.youtube.com/@sheriapoa⁠

    Sikiliza Podcast yetu kupitia:
    Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA
    Spotify: http://bit.ly/40v0UYd
    Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ
    Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa
    Youtube Link: https://www.youtube.com/@sheriapoa


    ---

    Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

    • 22 min

Customer Reviews

5.0 out of 5
2 Ratings

2 Ratings

Top Podcasts In Education

The Mel Robbins Podcast
Mel Robbins
The Jordan B. Peterson Podcast
Dr. Jordan B. Peterson
Mick Unplugged
Mick Hunt
Do The Work
Do The Work
TED Talks Daily
TED
School Business Insider
John Brucato